Maelezo ya jumla Saratani ya uume ni kansa inayoanzia kwenye uume. Uume ni moja ya viungo vinavyotengeneza mfumo wa uzazi wa mwanamme. Ni zipi dalili za saratani ya uume? Zifuatazo
Magonjwa ya wanaume
Taarifa kuhusu afya ya wanaume na magonjwa yanayowaathiri.
Tatizo la kubana kwa govi ni nini? Tatizo la kubana kwa govi (paraphimosis) ni tatizo hatari linaloweza kuwapata wanaume na wavulana ambao bado hawajatahiriwa. Kubana kwa govi kuna maanisha govi
Ugonjwa wa kudhoofika kwa mifupa kwa wanaume ni nini? Ugonjwa wa kudhoofika kwa mifupa (osteoporosis) ni hali inayosababisha mifupa ya mwili kuwa dhaifu (mifupa dhaifu) na kuongeza uwezekano wa kuvunjika.
Magonjwa ya ngono ni nini? Magonjwa ya ngono – ni maambukizi ya magonjwa yanayoenezwa kwa kufanya ngono isiyo salama. Endapo utafanya ngono ya ukeni, mk*nduni, au kwa kulamba sehemu za
Korodani ambazo hazijashuka kwenye pumbu ni nini? Korodani ambazo hazijashuka kwenye pumbu - Korodani ni moja ya kiungo cha mwili wa mwanamme. Korodani zinatengeneza homoni za kiume na manii. Kwa
Saratani ya korodani na inampata nani? Saratani ya korodani ni saratani inayoanzia kwenye moja au korodani zote. Korodani zinakaa ndani ya mifuko inayoitwa pumbu. Saratani ya korodani inawapata zaidi wanaume
Maelezo ya jumla Kupata shida kukojoa kwa wanaume wengi huaanza uzeeni na husababiswa na kuongezeka ukubwa wa tezi dume. Tezi dume ni tezi inayopatikana chini kidogo ya kibofu. Mara nyingi
Maelezo ya jumla Kuwahi kufika kileleni, ni pale mwanaume anapomwaga manii muda mfupi tu baada ya msisimuo wa kingono, kabla tu au muda mfupi tu baada ya kuingiza uume kwenye
Maelezo ya jumla Wanaume wengi huwa wanapata shida hii ya kushindwa kusimamisha uume kwa wakati fulani au wengine wanaweza kusimamisha ila baada ya muda uume unalala na hausimami tena. Sababu
Maelezo ya jumla Maumivu ya pumbu - jeraha dogo tu kwenye pumbu halisababishi matatizo ya kudumu, lakini maumivu makali yanaweza kutokea kwa sababu ya kujipinda ‘’torsion’’ kwa moja ya korodani
Load More