Moyo

Moyo ni pump ndogo inayolingana na ngumi inayosukuma damu mwilini

Mfumo wa kuzungusha damu mwilini umeundwa na mishipa ya damu inayotoa na kupeleka damu kwenye moyo.

Mishipa ya ateri hubeba damu kutoka kwenye moyo na mishipa ya vena hurudisha damu kwenye moyo.

Damu inayozunguka mwilini hupeleka oksijeni kwenye seli zote mwilini na kuondoa hewa chafu ya carbondioxide mwilini.

Oksijeni inafyonzwa na kuingia kwenye damu kupitia vifuko vidogo vya hewa vinavyopatikana kwenye mapafu vinayoitwa alveoli

Wakati oksijeni inapoingia ndani, kabonidioksaidi inapenya na kutoka nje pia.

Moyo wenye afya ni muhimu kwa maisha ya kila mmoja.

Linda moyo wako

Vyanzo

https://www.webmd.com/heart/picture-of-the-heart

Shares:
Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *